Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam Miongoni mwa Vipaumbele vilivyoainishwa na Wizara ya Kilimo katika bajeti ya Mwaka 2021/2022 iliyowasilishwa bungeni tarehe 24/25 Mei 2021 ni kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ambao unategemea zaidi mbolea. Katika utekelezaji wake, Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda ameendelea kukutana na wadau wa makundi mbalimbali,
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed